Friday, April 17, 2020
Walioambukizwa Corona Tanzania Wafikia 94
Wizara ya Afya Zanzibar imetoa taarifa ya ongezeko la wagonjwa wapya wa corona sita nchini na kufikia wagonjwa 24 kutoka 18 ambao walitolewa taarifa Aprili 15, 2020. Hivyo Tanzania kwa ujumla ina visa vilivyoripotiwa 94 vya wagonjwa wa #covid19
.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment