Advertisements

Wednesday, July 1, 2020

DKT.NDUMBARO AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA MOROCCO NCHINI MHE.ABDELILAH BENRYANE LEO JIJINI DAR ES SALAAM

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Morocco nchini Mhe. Abdelilah Benryane leo katika Ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam. Viongozi hao pamoja na mambo mengine wamezungumzia jinsi ya kuimarisha mahusiano kati ya Tanzania na Morocco
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Morocco nchini Mhe. Abdelilah Benryane leo katika Ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam. Viongozi hao pamoja na mambo mengine wamezungumzia jinsi ya kuimarisha mahusiano kati ya Tanzania na Morocco
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Morocco nchini Mhe. Abdelilah Benryane leo katika Ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam. Viongozi hao pamoja na mambo mengine wamezungumzia jinsi ya kuimarisha mahusiano kati ya Tanzania na Morocco.

No comments: