Advertisements

Friday, March 5, 2021

WATUMISHI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI KADA YA MASJALA WAPATIWA MAFUNZO YA MFUMO WA OFISI MTANDAO

Afisa TEHAMA kutoka Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Felix Changwe (kushoto) na Afisa Kumbukumbu, Hashim Salum (kulia) wakitoa maelekezo kwa watumishi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi(waliokaa), leo wakati wa Mafunzo ya Mfumo wa Ofisi Mtandao yanayofanyika Makao Makuu ya wizara Mtumba jijini Dodoma, ambao lengo lake ni kuongeza ufanisi katika utoaji huduma zinazotolewa na serikali.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Afisa TEHAMA wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,Robert Mberesero(kushoto) na Afisa Kumbukumbu,Hashim Salum wakitoa maelekezo kwa watumishi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi(waliokaa), leo wakati wa Mafunzo ya Mfumo wa Ofisi Mtandao yanayofanyika Makao Makuu ya wizara Mtumba jijini Dodoma, ambao lengo lake ni kuongeza ufanisi katika utoaji huduma zinazotolewa na serikali.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,Joseph Ngatunga akiwafutailia watumishi wa wizara hiyo (waliokaa), leo wakati wa Mafunzo ya Mfumo wa Ofisi Mtandao yanayofanyika Makao Makuu ya wizara Mtumba jijini Dodoma, ambao lengo lake ni kuongeza ufanisi katika utoaji huduma zinazotolewa na serikali.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Afisa TEHAMA kutoka Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Felix Changwe (aliyesimama) akimfuatilia mtumishi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,Aisha Juma, leo wakati wa Mafunzo ya Mfumo wa Ofisi Mtandao yanayofanyika Makao Makuu ya wizara Mtumba jijini Dodoma, ambao lengo lake ni kuongeza ufanisi katika utoaji huduma zinazotolewa na serikali.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

No comments: