Kamishna wa Idara ya Uchambuzi wa Sera na Utafiti, Wizara ya Fedha, Bw. William Mhoja na Mkurugenzi wa Sheria na Mikataba ya Kodi wa Irani, Dkt. Hossein Abdollah, wakisaini mkataba wa makubaliano ya majadiliano ya Kuondoa Utozaji Kodi Mara Mbili baada ya kufanyika kwa majadiliano ya kina kati ya nchi hizo mbili, jijini Dar es Salaam.
Kamishna wa Idara ya Uchambuzi wa Sera na Utafiti, Wizara ya Fedha, Bw. William Mhoja na Mkurugenzi wa Sheria na Mikataba ya Kodi wa Irani, Dkt. Hossein Abdollah, wakibadilishana mkataba wa makubaliano ya majadiliano ya Kuondoa Utozaji Kodi Mara Mbili baada ya kufanyika kwa majadiliano ya kina kati ya nchi hizo mbili, jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Idara ya Nchi za Mashariki ya Kati wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Abdallah Kilima na Balozi wa Iran nchini Tanzania Mhe. Hossein Alvandi Behine wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kusainiwa kwa makubaliano ya majadiliano ya kuondoa Utozaji Kodi Mara Mbili kati ya nchi hizo mbili, jijini Dar es Salaam.
Kamishna wa Idara ya Uchambuzi wa Sera na Utafiti, Wizara ya Fedha, Bw. William Mhoja na Mkurugenzi wa Sheria na Mikataba ya Kodi wa Irani, Dkt. Hossein Abdollah, wakiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa pande hizo mbili baada ya kusainiwa makubaliano ya majadiliano ya Kuondoa Utozaji Kodi Mara Mbili kati ya nchi hizo mbili, jijini Dar es Salaam.
(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WF, Dar es Salaam)
Na. Scola Malinga, WF, Dar es Salaam
No comments:
Post a Comment