Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye (Mb) amezinduzi Bodi ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi uliofanyika katika ukumbi wa TCRA, jijini Dodoma Januari 19, 2024.
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye (Mb), akionyeshwa kitu na Mwenyekiti wa Bodi ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi, Balozi (mstaafu), Adadi Rajabu.
Email ThisBlogThis!
No comments:
Post a Comment