Wednesday, April 3, 2024

MAKABIDHIANO YA OFISI YA KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI


Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,Ally Senga Gugu akikabidhiwa Nyaraka za Utendaji na aliyekua Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Kaspar Mmuya (kulia) wakati wa Makabidhiano ya Ofisi yaliyofanyika leo Makao Makuu ya wizara,Mtumba jijini Dodoma.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ally Senga Gugu na aliyekua Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Kaspar Mmuya (kulia) wakiweka Saini Taarifa za Makabidhiano ya Ofisi yaliyofanyika leo Makao Makuu ya wizara, Mtumba jijini Dodoma.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ally Senga Gugu akibadilishana hati za makabidhiano ya ofisi na aliyekua Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Kaspar Mmuya (kulia) wakati wa Makabidhiano ya Ofisi yaliyofanyika leo Makao Makuu ya wizara, Mtumba jijini Dodoma.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Katibu wa Chama cha Wafanyakazi (TUGHE) Tawi la Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Boaz Mwazyunga akimkabidhi zawadi ya wafanyakazi Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma, Kaspar Mmuya(kushoto) ambae alikua Katibu Mkuu wa Wizara hiyo.Zoezi hilo la kumkabidhi zawadi limefanyika leo Makao Makuu ya wizara, Mtumba jijini Dodoma.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,Ally Senga Gugu(watatu kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma ambae pia alikua Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Kaspar Mmuya(wanne kulia),baada ya Makabidhiano ya Ofisi yaliyofanyika Makao Makuu ya wizara, Mtumba jijini Dodoma.Wengine ni Wakuu wa Idara na Vitengo vilivyopo chini ya wizara.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

No comments: