Sunday, June 16, 2024

RAIS WA ZANZIBAR DK.HUSSEIN MWINYI AMTAWAZA KUWA MWENYEKITI WA KIGODA CHA TAALUM CHA SHEIKH ABEID AMANI KARUME



RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akitembelea maonesho ya Wanafunzi wa SUZA na akipata maelezo ya vifaa vya kufundishia kwa Wanafunzi kutoka kwa Mwanafunzi Maryam Khamis Hamad,maonesho hayo yaliyofanyika katika viwanja vya Chuo hicho Tunguu Wilaya ya Kati Unguja, kabla ya kuzindua Kigoda cha Taaluma cha Sheikh Abeid Amani Karum 15-6-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akitembelea maonesho ya Wanafunzi wa SUZA na akipata maelezo ya Taa za kuongozea gari kutoka kwa Mwanafunzi Ahmed Ramadhan Abdalla, maonesho hayo yaliyofanyika katika viwanja vya Chuo hicho Tunguu Wilaya ya Kati Unguja, kabla ya kuzindua Kigoda cha Taaluma cha Sheikh Abeid Amani Karume 15-6-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akitembelea maonesho ya Wanafunzi wa SUZA na kupata maelezo ya kitabibu jinsi ya kifaa cha kupumulia kutoka kwa Amina Ali Nassor,maonesho hayo yaliyofanyika katika viwanja vya Chuo hicho Tunguu Wilaya ya Kati Unguja, kabla ya kuzindua Kigoda cha Taaluma cha Sheikh Abeid Amani Karume 15-6-2024(

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimtawaza kuwa Mwenyekiti wa Kigoda cha Taaluma cha Sheikh Abeid Amani Karume Prof. Enginald Pius Mihanjo, hafla hiyo ya kutawazwa iliyofanyika katika ukumbi wa Dk.Ali Mohamed Shein (SUZA) Tunguu Wilaya ya Kati Unguja 15-6-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimtawaza kuwa Mwenyekiti wa Kigoda cha Taaluma cha Sheikh Abeid Amani Karume Prof. Enginald Pius Mihanjo, hafla hiyo ya kutawazwa iliyofanyika katika ukumbi wa Dk.Ali Mohamed Shein (SUZA) Tunguu Wilaya ya Kati Unguja 15-6-2024
MWAKILISHI wa Familia ya Hayati Sheikh Abeid Amani Karume Rais Mstaafu wa Zanzibar Mhe.Dkt. Amani Abeid Karume akimkabidhi Vitabu Mwenyekiti wa kwanza wa Kigoda cha Taaluma cha Sheikh Abeid Amani Karume Prof.Enginald Pius Mihanjo, baada ya kumaliza kutawazwa kuwa Mwenyekiti wa Kigoda cha Sheikh Abeid Amani Karume, hafla hiyo iliyofanyika 15-6-2024 katika ukumbi wa Dk.Ali Mohamed Shein (SUZA) Tunguu Wilaya ya Kati Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kukizindua Kigoda cha Taaluma cha Sheikh Abeid Amani Karume, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Dk.Ali Mohamed Shein (SUZA) Tunguu Wilaya ya Kati Unguja 15-6-2024


WAKUFUNZI wa Chuo Kikuu Cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia na kuzindua Kigoda cha Taaluma cha Sheikh Abeid Amani Karume , uzinduzi huo uliofanyika leo katika ukumbi wa Dk.Ali Mohamed Shein (SUZA)Tunguu Wilaya ya Kati Unguja.15-6-2024
WANANCHI na Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia na kuzindua Kigoda cha Taaluma cha Sheikh Abeid Amani Karume , uzinduzi huo uliofanyika leo katika ukumbi wa Dk.Ali Mohamed Shein (SUZA)Tunguu Wilaya ya Kati Unguja.15-6-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi TUZO ya Heshima Rais Mstaaf wa Zanzibar Mhe.Dkt.Amani Abeid Karume, wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Kigoda cha Taaluma cha Sheikh.Abeid Amani Karume, uzinduzi huo uliyofanyika leo 15-6-2024, katika ukumbi wa Dk.Ali Mohamed Shein (SUZA) Tunguu Wilaya ya Kati Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi TUZO ya Heshima Rais Mstaaf wa Zanzibar Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein,wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Kigoda cha Taaluma cha Sheikh.Abeid Amani Karume, uzinduzi huo uliyofanyika 15-6-2024, katika ukumbi wa Dk.Ali Mohamed Shein (SUZA) Tunguu Wilaya ya Kati Unguja.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi TUZO ya Heshima Rais Mstaaf wa Tanzania Mhe.Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Kigoda cha Taaluma cha Sheikh.Abeid Amani Karume, uzinduzi huo uliyofanyika 15-6-2024, katika ukumbi wa Dk.Ali Mohamed Shein (SUZA) Tunguu Wilaya ya Kati Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa TUZO ya Heshima na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Ali Abdulgulam Hussein (kushoto) baada ya uzindua Kigoda cha Taaluma cha Sheikh Abeid Amani Karume,hafla ya Uzinduzi wa Kigoda cha Taaluma cha Sheikh.Abeid Amani Karume, uliyofanyika 15-6-2024, katika ukumbi wa Dk.Ali Mohamed Shein (SUZA) Tunguu Wilaya ya Kati Unguja.(

No comments: