ANGALIA LIVE NEWS

Monday, March 22, 2010

Mswada wa afya wa rais Barack Obama wapitishwa



U.S. President Barack Obama (C) is flanked by White House Press Secretary Robert Gibbs (C) and Senate Sergeant At Arms Terrance Gainer after meeting with Republicans in the House of Representatives at the U.S. Capitol January 27, 2009 in Washington, DC. Obama was on Capitol Hill working to gain support from Republicans for the American Recovery and Reinvestment Plan, the $825 billion economic recovery package proposed by House Democrats.  (Photo by Chip Somodevilla/Getty Images) *** Local Caption *** Barack Obama;Robert Gibbs;Terrance Gainer   
Bunge la waakilishi mjini Washington, Marekani limepitisha mswada wa afya wa Rais Barack Obama, mswada unaotazamiwa kuwa mkubwa zaidi katika mabadiliko yanayofanyiwa sheria za kijamii nchini humo.
Kulitokea shangwe upande wa Demokrats katika bunge walipopata kura 216 zilizohitajika kupitisha mswada huo. Akimalizia kampeini za mjadala juu ya mswada huo, spika wa bunge Nancy Pelosi alisema kuwa bunge la Marekani linafikia hatua ya kihistoria.
Mwandishi wa BBC mjini Washington amesema kuwa nafasi za rais Barack Obama kupata ushindi ziliongezwa baada ya kuafikiana na wanademokrats waliopinga kutumiwa fedha za hazina ya umma katika uavyaji mimba.
Mjadala wa mswada huu ulipamba moto huku wanaharakati walioupinga wakifanya maandamano nje ya majengo ya bunge.

No comments: