ANGALIA LIVE NEWS

Monday, March 1, 2010

Ndege ya ATCL yapata ajali


Image
Ndege ya ATCL aina ya Boeing 737 ikiwa imelalia tumbo baada ya tairi lake la mbele kupasuka jana asubuhi wakati ikitua katika uwanja wa ndege wa Mwanza. Hakuna majeruhi katika ajali hiyo.

No comments: