Juu na chini ni Mchezaji Mbogo anayechezea Chelsea, Adam Nditi akiwa uwanjani na timu yake wakati wa mechi ya Kombe la FA kwa vijana kati ya Chelsea na Arsenal mchezo uliopigwa katika uwanja wa Stamford Bridge Januari 20, 2011 mjini London,Uingereza.
picha kwa hisani Clive Rose wa Getty Images ya Ulaya
picha kwa hisani Clive Rose wa Getty Images ya Ulaya
Hii ni kideo ya mechi yenyewe kipindi cha pili ambayo Adam Nditi amevaa jezi #15
No comments:
Post a Comment