Advertisements

Tuesday, March 29, 2011

ADAM NDITI MBONGO ANAYECHEZEA CHELSEA VIJANA


Adam Nditi Adam Nditi of Chelsea in action during the FA Youth Cup match between Chelsea and Arsenal at Stamford Bridge on January 20, 2011 in London, England.
Juu na chini ni Mchezaji Mbogo anayechezea Chelsea, Adam Nditi akiwa uwanjani na timu yake wakati wa mechi ya Kombe la FA kwa vijana kati ya Chelsea na Arsenal mchezo uliopigwa katika uwanja wa Stamford Bridge Januari 20, 2011 mjini London,Uingereza.
picha kwa hisani Clive Rose wa Getty Images ya Ulaya
Adam Nditi Adam Nditi of Chelsea in action during the FA Youth Cup match between Chelsea and Arsenal at Stamford Bridge on January 20, 2011 in London, England.Adam Nditi Adam Nditi of Chelsea in action during the FA Youth Cup match between Chelsea and Arsenal at Stamford Bridge on January 20, 2011 in London, England.
Hii ni kideo ya mechi yenyewe kipindi cha pili ambayo Adam Nditi amevaa jezi #15

No comments: