
Wachezaji wa Simba wakimzonga refarii wa mchezo huo, Olden Mbaga, baada ya kutaka kuwanyima goli la kusawazisha hata hivyo baadaye alilikubali.

Wachezaji wa Yanga wakimzonga mshika kibendera aliyeanza kulikubali goli la Simba ambalo awali refarii alilikataa.
PICHA ZOTE NA RICHARD BUKOS /GPL
No comments:
Post a Comment