ANGALIA LIVE NEWS

Saturday, July 30, 2011

SIKU AMBAYO MRISHO NGASSA ALIPOKUA ANAONDOKA KURUDI TANZANIA

Mrisho Ngassa(shoto) akiwa na Mdau Amin Dola wakitoka Hotelini kwake kuelekea Airport
Amin Dola akipata Ukodak pamoja na Mrisho Ngassa
Mrisho Ngassa akiwa Airport tayari kuondoka kuelekea Tanzania ambako anatakiwa kurudi January wakati wausajili wa dirisha dogo
Mrisho Ngassa akiangana na mdau Mudrick Maajaliwa kwenye uwanja wa ndege wa Seattle(WA).Picha kwa hisani ya Amin Dola(Mayor wa Seattle)

3 comments:

Anonymous said...

Punguza uzito Mudrick, to much - Cheers

Anonymous said...

Dola Katunda yuko wapi? tuma giri hilo bongo, mafuta bei gari. Ngassa alikulipa kumupeleka Airport? Salimia Seattle

Anonymous said...

mbona sunglass wa mrisho kama ya kike!?