KATIBU MSAIDIZI ATINGA KIJIJI CHA SWAHIHILI,BELTSVILLE,MARYLAND
Sixtus Mapunda Katibu Msaidizi Mkuu,wa Itikadi na Uenezi CCM akipa menyu ya Jioni Kijiji cha Swahili kinachomilikiwa na Mkenya kilichopo Beltsville,Maryland,Nchini Marekani,Sixtus Mapunda yupo Nchini Marekani kwa shughuli za Chama.
No comments:
Post a Comment