ANGALIA LIVE NEWS
Monday, March 5, 2012
Ajali Mbaya dala dala zagongana uso kwa uso maeneo ya sinde jirani na Sangu secondari muda huu zaidi ya Abiria kumi wajeruhiwa
Muda mfupi baada ya ajali kutokea
Polisi wakiwa wamefikaeneo la tukio kwa ajili ya kupima
Hivi ndivyo Ajali inavyo onekana
Moja ya daladala hizo ambayo inaonekana ikiwa imeharibika baada ya ajali hiyo.
Picha kwa hisani ya Mbeya Yetu
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment