ANGALIA LIVE NEWS

Monday, May 28, 2012

MEMORIAL WEEKEND, COLUMBUS, OHIO CHOMA NYAMA DAY 3

 Wadau wa Columbus,  DC na Atlanta waki represent kwenye park.
 Wadau wa Columbus pamoja na Connecticut wakipata ukodak moment.
 Juu na chini ni Wadau Kutoka New York wakicheza Electric Slide kwenye Park ya Roses
 Walimbwende wa Columbus, Ohio wakipozi  kwenye Ukodak moment.
 Pam Lolo akiwa na mdogo wake Jack wakiwa kwenye Park
 Wadau wakipata Ukodak Moment
 Timu ya Watanzania ya Columbus, Ohio ambayo ilikua icheze mechi na Liberia ambao hawakutokea na ikabidi wacheze mazoezi wao kwa wao na kuahidi kuja DMV kukipiga na Watanzania wa huko.
Faiz Jr mchezaji wa Tegemeo la Taifa Stars miaka ijayo

No comments: