ANGALIA LIVE NEWS

Tuesday, June 12, 2012

WACHEZAJI TIMU TANZANIA DMV MAZOEZI LEO JUMATANO BILA KUKOSA, MECHI NA UINGEREZA KURUDIWA


Wachezaji wa timu ya Tanzania DMV mnatakiwa mazoezini Leo Jumamtano June 13, 2012 saa 1:30 jioni uwanja wa WALKER MILL RD kujiandaa na mechi ya Spain kwenye ligi ya DIASPORA 2012 WORLD CUP itakayochezwa Jumapili June 17, 2012.Tafadhali zingatia muda.

Na habari zilizopatikana hivi punde ile mechi iliyokua ichezwe Jumapili June 10, 2012 Germantown na Uingereza na kuahirishwa kwa sababu ya baadhi ya wachezaji kuchelewa kufika uwanjani sasa mechi hiyo itapangwa upya, siku na tarehe itatangazwa baadae.

1 comment:

Anonymous said...

Hawa wote wa Tz? mmmmhhh !! disgusting .....!!