ANGALIA LIVE NEWS

Tuesday, June 12, 2012

TASWIRA MBALIMBALI BUNGENI DODOMA LEO


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Namtumbo Vita Kawawa (kushoto) na Mbunge wa Iramba Magharibi, Mwigulu Nchemba kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma leo Juni 12, 2012. 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Viti Maalum Pauline Gekul na watoto wake Irene (kushoto) na Inocentia kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma leo Juni 12, 2012.
Spika wa Bunge Anne Makinda akimkabidhi kanuni za Bunge Mbunge wa Kuteluliwa James Mbatia baada ya kumwapisha, Bungeni Mjini Dodoma, leo Juni 12,2012.
Mbunge wa Kuteuliwa, Sospeter Mwijarubi Muhongo akiapa Bungeni Mjini Dodoma, leo Juni 12, 2012.
Mbunge wa Kuteuliwa Saada Mkuya Salum akiapa Bungeni Mjini Dodoma leo Juni 12, 2012. 
(Picha zote na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments: