ANGALIA LIVE NEWS

Saturday, July 21, 2012

MAANDALIZI MKUTANO WA CCM KIGOMA YAIVA‏

Bendera za CCM  zilizopambwa kwenye Uwanja wa Community Cetre, Mwanga, mkoani Kigoma, zikiwa zimeunakishi uwanja huo, leo jioni ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mkutano mkubwa wa CCM utakaofanyika kesho Jumapili.




Juu na chini Mafundi wakiwa katika pilika pilika kuandaa jukwaa kwa ajili ya mkutano huo

No comments: