ANGALIA LIVE NEWS

Thursday, October 18, 2012

BAADHI YA WAFUASI WA SHEIKH PONDA WAKAMATWA WAKIANDAMANA JIJINI KITUO KIKUU CHA POLISI KATI



Mmoja wa wafuasi wa kikundi cha waislamu wenye imani kali akidhibitiwa na
polisi mara baada ya kukamatwa leo katika kituo kikuu cha polisi Kati wakijaribu kuandamana ili kushinikiza kiongozi wao Katibu wa Taasisi za Kiislamu Shekh Ponda Issa Ponda kuachiwa na jeshi la polisi mara baada ya kukamatwa jijini Dar es salaam kwa kudaiwa kusababisha vurugujijini 
Dar es salaam.Mwandamanajimwingine akipelekwa katika kituo kikuu cha polisi kati jijini Dar es 
salaam leo mchana mara baada ya kukamatwa akiandamana
Mmoja wa wananchi akihojiwa na waandishi wa habari ili kutoa maoni yake mara baada ya 
maandamano hayo kutawanywa na polisi na baadhi ya waandamanaji kukamatwa leo mchana
Polisi wakiwa tayari kwa kudhibiti maandamano hayo katika kituo kikuu cha Reli ya kati na karibu na kituo cha polisi kati jijini Dar es salaam leo mchana.
Picha Kwa Hisani ya Full Shangwe Blog

No comments: