ANGALIA LIVE NEWS

Monday, October 29, 2012

WADAU WALIVYOKUA WAKIFUATILIA MTANANGE WA CHELSEA FC NA MANCHESTER UNITED

Baraka Shelukindo akifuatilia mechi
Mehbu Salim akishangilia katika pub la City Sports Lounge, wakati akishuhudia mechi ya Ligi Kuu ya England kati ya Manchester United na Chelsea. Man U wameshinda 3-2, lakini kwa kubebwa hadi aibu. Tazama picha zaidi na swaga tofauti za mashabiki waliokuwa wakishuhudia mechi hiyo City Sports Lounge, pub linalovutia wajanja wengi wa town kwa sasa, hususan wapenzi wa soka 
Kulia ni Juma Pinto na kushoto Mohamed Bawaziri wakifuatilia mechi
Shabiki akifuatilia nmechi kinyonge
Mashabiki wakipeana vijembe
Mashabiki wakifuatilia kwa makini
Kwa picha zaidi bofya read more
Mashabiki wakizozana

Kulia ni Salim na kushoto Hussein Songambele wakifuatilia mechi
Mashabiki wakitambiana
Wahariri Watendaji, Bakari Machumu wa Mwananchi kulia na Frank Sanga wa Mwanaspoti wakifuatilia mechi kwa makini
Mashabiki wakileteana kidogo

Bawaziri akifuatilia mechi kinyonge
JP akifuatilia mechi

Picha kwa hisani ya Bin Zubery Blog

1 comment:

Anonymous said...

BARAKA SHELUKINDO AMEONA NIMEMPENDA SANA KANIVUTIA NIAMBIYENI JAMANI NIKO SINGLE