ANGALIA LIVE NEWS

Wednesday, November 14, 2012

TCRA kuanzisha mfumo mpya wa namba za utangulizi za simu


Mamlaka ya mawasiliano Tanzania TCRA inaanzisha mfumo mpya ambao namba za utangulizi zitaweza kutumika katika mitandao yote ya Simu bila kubadilisha namba ya simu.

No comments: