Advertisements

Wednesday, February 27, 2013

ANGALIA PICHA,DR,SLAA NA MCHUMBA WAKE JOSEPHINE WAKIWA JERUSALEMU CITY WAKIMLILIA MUNGU

Picha hizi ni ndani ya Jerusalemu City.
Kila mtu ana imani yake.Hapa tumekuja kumlila Mungu hasa kwa yale yanayoendelea,katika nchi yetu.
Tumeweza kuibeba Tanzania na kuputa njia aluyoputa Yesu akiwa na msalaba mpaka Golgota,zaidi tumeweka msiba wa watanzania mbele ya macho ya Mungu pale Getsemane na West wall.
Bado tunaendelea na maombi,hakika mateso yamefika mwisho.


No comments: