Friday, February 22, 2013

DUUH THE GREATEST "RAY" AZUA HOFU,APUNGUA GHAFLA

Msanii Vicent Kigosi /Ray akiwa na Shavu lake sikua chache tu zilizo pita.
Hapa inaonyesha alivyokua Kabla na alivyo sasa.
Ray alivyo sasa.
Kila mtu anajiuliza lake tokana na kupungua kwake uzito kwa gafla namna hiyo..Anaumwa,Anamaintain,au ana Stress pengine tokana na ile Movie yake (Sister Marry) ambayo imezuiliwa na kanisa katoliki..
Wewe kama Mdau unafikiliaje?

No comments: