Thursday, February 7, 2013

LICHA YA SHESHE LA MOTO MV. VICTORIA YAFANYA SAFARI

Mv Victoria ikijitayarisha kwaajiri ya kufanya safari yake usiku wa leo kuelekea mjini Bukoba mkoani Kagera mara baada ya kukaguliwa kufuatia kunusurika kuteketea mchana wa keo kupitia sakata la wachomeleaji walio sababisha moto uliozuka eneo la kuhifadhi mizigo.
Zaidi kujikumbusha sikiliza ripoti iliyofanyika ndani ya 'GUMZO' la Jahazi Clouds Fm, 
Kwa ku Bofya Play.



Mv. Victoria ikipakia gari usiku huu hatimaye kuanza safari yake usiku huu.
Nao wasafiri walipanda kama ada licha ya baadhi yao kuonekana kuwa na wasiwasi na wengine kuahirisha kabisa safari.
Ndani ya meli abiria wakitathimini mazingira.
Saa 3 na dakika 10 meli ya Mv. Victoria inaondoka Mwanza.... kuelekea Bukoba mkoani Kagera.
Blogu hii yawatakia safari njema abiria wote.
Picha kwa hisani ya 
http://gsengo.blogspot.com/

No comments: