Rais Yoweri Mseveni wa Uganda
Rais Yoweri Museveni wa Uganda amefiwa na baba yake mzazi Mzee Amos Kaguta, aliyefariki dunia leo asubuhi jijini Kampala katika hospitali ya International aliyokua amelazwa tangia wiki iliyopita
Mzee Kaguta alikua anasumbuliwa na maumivu ya tumbo yaliyopelekea kulazwa hospitalini hapo kwa matibabu. Mzee Amos Kaguta alikua na miaka 96 na anatarajiwa kuzikwa kesho.
Mzee Amos Kaguta Enzi ya Uhai wake
Hii ndiyo International Hospital alikokua amelazwa Mzee Amos Kaguta
Hii ndiyo International Hospital alikokua amelazwa Mzee Amos Kaguta
No comments:
Post a Comment