
BI KIDUDE AMEFARIKI DUNIA.
HABARI ZILIZOTUFIKIA HIVI PUNDE KUTOKA ZANZIBAR, ZINASEMA KUWA, MWIMBAJI MAARUFU WA MIONDOKO YA TAARABU AMEFARIKI DUNIA.
BI KIDUDE AMEFARIKI DUNIA AKIWA NA ZAIDI YA UMRI WA MIAKA 100.
MPAKA SASA HATUJAPATA SABABU ZA KIFO CHAKE.
MPAKA SASA HATUJAPATA SABABU ZA KIFO CHAKE.
MWENYEZI MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI
AMEN.
AMEN.

1 comment:
inna lillahi waina illahi rajiun tuko nyuma yako bi kidude hakika mwanadamu hana hila wala pingamizi siku yake ikifika
mdau NY
NITA MISS SANA NYIMBO ZAKE
Post a Comment