Advertisements

Thursday, April 18, 2013

PICHA ZINGINE ZA MAZISHI YA BI.KIDUDE



 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi wakiongoza maelfu ya waombolezajikatika mazishi ya Bi Kidude katika kijiji cha marehemu
Kitumba Wilaya ya Kati Unguja ambako viongozi na waombolezaji hawakujali mvua kubwa iliyonyesha wakati wa maziko


 Mpiha picha  Peter Bennet akiwa na waombolezaji wenzie.


 Miamvuli ya majani ya migomba ilisaidia kiasi
kwa picha zaidi bofya read more


 Wasanii kibao kutoka bara walikuwa miongoni mwa waombolezaji waliojitokeza kumzika Bi Kidude


 Mufti wa Zanzibar akisalimia viongozi


 Mwandaaji wa filamu ya Bi Kidude ya As Old as My Tongue Bw Andy James wa kampuni ya Screenstation ya Uingereza akisalimiana na Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwenye mazishi ya Bi Kidude


 Maziko ya Bi Kidude


 Diamond akisalimia viongozi


 Ruge Mutahaba akisalimia viongozi huku Diamond akifuta machozi


 Fid Q akisalimu viongozi


Mzee Yusuf akiwa na waombolezaji wenzi
Picha kwa hisani ya Michuzi

No comments: