Advertisements

Monday, May 6, 2013

CHUO KIKUU CHA KIMATAIFA VIRGINIA (VIU) CHATOA UNAFUU KWA WANAFUNZI WA KITANZANIA WATAKAOJIUNGA NA CHUO HICHO

 Mkuu wa chuo akikielezea chuo hicho wakati wa maafali ya chuo yaliyofanyika Jumapili May 5, 2013 Fairfax Virginia nchini Marekani
 Wahadhili wa chuo pamoja na mgeni rasmi katika picha 
 Mhadhili akitoa cheti kwa mmoja ya wahitimu wa chuo hicho kwenye maafali yaliyofanyika Jumapili May 5, 2013 Fairfax Virginia.


Baadhi ya wanafunzi Watanzania wanaosoma chuo hicho Kutoka kushoto ni Alex John Luketa(student recruitment and marketing assistant in Virginia international University ),anaefuata Veronica N Magacha ,Cathereen Virginia Minja, Rehema Waziri ,Winfrida Josephat na Jose Fabian
Bendera ya Tanzania inayowawakilisha wanafunzi wa Kitanzania wanaosoma chuo hicho cha Virginia International University. ikipitishwa mbele na mwanafunzi wa Kitanzania Winfrida Josephat.
 Wanafunzi wakimsikiliza mkuu wa chuo.
 Bendera za nchi mbalimbali zinazowawakilisha wanafunzi na nchi wanazotoka zikisimikwa.
 Juu na chini ni picha ya pamoja ya wanafunzi waliomaliza chuo
Hapa chini ni Video ya Alex John Luketa akielezea jinsi ya kujiunga na chuo hicho hasa kwa wanafunzi wa kutoka Tanzania hebu msikilize
Now we are recruiting student for summer II and Fall 2013, Virginia International University Now we are can process admission very fast, just find me in FACEBOOK; Alex john Luketa and skype; alex.john.luketa in my number +15712449300 in this number you can get me in whatsapp,Tango,viber and also in my email alex@viu.edu) for more information visit www.viu.edu.

1 comment:

Anonymous said...

Haya ndo mambo tunayoyataka hapa DMV maana hatuwajui watanzania walioshika nafasi nyeti katika vyuo mbali mbali hapa Marekani. Vijana changamkieni nafasi hizi!