Kumbukumbu Muhimu Mwana
Tabla akifanya yake kwa steji
Mashuati kwenye stage wakionyesha ujuzi wa karate raha kwelii
Haya sasa Man 2 Man Battle nichane nikupasue
Ohhh usiogope jamaa hapigwiiii ila ni mizuka ya battle man 2 man
Kundi la Kiokosi cha Mizinga limefanya show ya kutimiza miaka 13 tangu lianzishwe
Show hiyo iliyo hudhuliwa na mashabiki kibao wa hip hop wa Jijini Dar es salaam.
Onyesho hilo lilifanyika usiku wa kuamkia leo na kuhudhuliwa na wasanii wa muda mrefu sana waliopotea katika mziki huo wakiwemo Member wa Kundi la Wateule,Mark 2 Be aka Simba wa kundi la Big Dogg Poz
Chanzo:dj-sek.blogspot.com na bongo5.com








No comments:
Post a Comment