Na Joseph Msami, New York
Mwanamuziki mashuhuri na mwanaharati wa haki za wanawake Angelique Kidjo amekutana na mtoto mwanaharakti Malala Yousfzai ambaye ameadhimisha miaka kumi na sita leo na kumtaka kuendeleza harakati zake katika kufikia dunia katika swala la elimu kwa watoto wa kike.
Akongea muda mfupi baada ya kuhudhuria hafla maalua makao makuu ya Umoja wa Mataifa mjini New York ambapo Malala aliyepigwa risasi mwaka jana na wanamgambo wa Taliban kutokana na msimamo wake wa kutetea bayana elimu, alihutubia leo, Kidjo ambaye ni balozi mwema wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wa toto UNICEF, amesema amezungumza naye baada ya hotuba yake na kumwalika Afrika.
(SAUTI KIDJO)
VIDEO YA AGOLO
No comments:
Post a Comment