ANGALIA LIVE NEWS

Wednesday, July 3, 2013

HUYU NDIO MTANZANIA ATAKAYE BURUDISHA KWENYE SHOW YA BIG BROTHER AFRICA JUMAPILI HII


Anajulikana kwa Jina la Wakazi ....Ni Mtanzania Ambae yuko katika harakati za Hip Hop muda mrefu japo kipindi cha nyuma alikuwa akizifanyia hizo harakati Marekani ..ila kwa sasa Yupo Tanzania ....Jumapili hii Aburudisha katika Show ya Big Brother ya Kila Jumapili

No comments: