Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV Idd Sandaly (kushoto) katika picha ya pamoja na mmoja ya wahudhuriaji wa mkutano wa Jumuiya ya Watanzania uliofanyika Jumamosi Oct 12, 2013
Wanajumuiya wakibadilishana mawili matatu kabla ya mkutano kuanza
Wanajumuiya wakibadilishana mawili matatu kabla ya mkutano kuanza
Rais wa Jumiya Idd Sandaly akiongea na Wanajumuiya wachache waliohudhuria mkutano huo
Viongozi na wajumbe katika picha ya pamoja (Picha kwa hisani ya je huu ni Uungwana Blog)
No comments:
Post a Comment