ANGALIA LIVE NEWS

Thursday, November 7, 2013

HAPPY BIRTHDAY

Mama mwenye nyumba wa mkuu wa wilaya ya Springfield Bwana Isaac Kibodya.
Happy birthday Nyonga mkalia ini, Malkia wa nafsi, barafu ya moyo wangu. Mwenyezi Mungu akujaalie uhai mrefu, ujawe na moyo wa mapenzi na huruma kwa watu wote. Uishi kwa kufuata kitabu kila siku ya maisha yako. Nisingeitwa mjomba kama si wewe, nisingeitwa bwana kama hukuja kwenye maisha yangu. Ujumbe kutoka kwa baba mwenye nyumba.

2 comments:

akida said...

mungu akupe umri mrefu na akutimizie malengo yako inshallah

Anonymous said...

Happy bday wifi yetu mola akupe umri mrefu wenye furaha teleeee