ANGALIA LIVE NEWS

Tuesday, December 10, 2013

TAIFA STAR YASHINDWA KIUME KENYA YAKUBARI KIPIGO CHA GOLI LA MAPEMA




Mbwana Samatta akipambana na mabeki wa KenyaTANZANIA Bara ‘Kilimanjaro Stars’, imefungwa 1-0 na Kenya ‘Harambee Stars’ katika Nusu Fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Challenge Uwanja wa Nyayo, Nairobi, usiku huu ikisindikizwa na mvua.
Kwa matokeo hayo, sasa Stars itamenyana na Zambia katika mechi ya kusaka mshindi wa tatu keshokutwa mchana Uwanja wa Nyayo tena, wakati Kenya itamenyana na Sudan katika Fainali jioni yake.

No comments: