ANGALIA LIVE NEWS

Sunday, April 13, 2014

LINDA NA ADDSON WAMEREMETA

Linda na mumewe Addson wakiwa meza kuu kwenye sherehe ya harusi yao iliyofanyika siku ya Jumamosi April 12, 2014 Windsor, Maryland kwenye ukumbi wa Martin's West na kuhudhuriwa na ndugu, jamaa na marafiki wa pande zote mbili.
Bibi na Bwana harusi wakiwa na wapambe wao Hilda na Isaac
Wasimamizi toka kushoto ni Courage, Eric, Liz, Mubelwa, Severine, Kelvin, Bih na Clarkson
 Bibi na Bwana harusi wakikata keki
 Linda akimlisha keki Addson
 Addson akimlisha keki Linda
 Dansi ya kwanza kama mume na mke.
kwa picha zaidi bofya soma zaidi

No comments: