ushamba diamond huo kwani hao waliokuleta hawajakuambia si baridi kali hivi na kuchukua majacket. unakipaji cha kuimba lakini mbwembwe zako hizi na kuwafata wanaokutumia vibaya kama hujakuwa makini utaharibu usanii wako.piga show na kuwa simple babaaaa eeeh
Acheni majungu na nyie..kavaa kishamba sijui nini..mshamba wa kusafiri, acheni uswahili wenu mnakua na kikorosho kama wanga ..wee huna unaanza kuongea Ovyo..unataka avae kama wewe ..?Mbona hujianiki na mavazi..kuweni wastaarabu
What's wrong with you people???? Amevaa kawaida Kama Watu wote ndivyo wanavyo vaa hilo ni jeans jacket its like casual if u dont know unavaa anytime... hebu acheni upumbavu wenu its jealous
washamba wote wanaovalisha na yeye pia na usiweke hii comment dj luke na vijimambo team mnaweka za kwenu tu za unoko unoko kuwajibu watu halafu tukikujibuni mnazitupa chini washamba wote na bado mko marekani bado ushamba mnao hatotoke daima
8 comments:
where can we watch the show live?
Huyo ndiyo Phanuel Peter Ligate??
Aiseee Usichezee moto utalungula !!!
ushamba diamond huo kwani hao waliokuleta hawajakuambia si baridi kali hivi na kuchukua majacket. unakipaji cha kuimba lakini mbwembwe zako hizi na kuwafata wanaokutumia vibaya kama hujakuwa makini utaharibu usanii wako.piga show na kuwa simple babaaaa eeeh
Mbona wako kishamba sana wanavaa nguo kama wakongo au ndio kwanza wameanza kuvaa au kusafiri kuweni simple
Oya mimi mshkaji wako wa zamani lilfue nakushauri usiwe kama mshamba wa kuvaa kuwa simple kaka
Acheni majungu na nyie..kavaa kishamba sijui nini..mshamba wa kusafiri, acheni uswahili wenu mnakua na kikorosho kama wanga ..wee huna unaanza kuongea Ovyo..unataka avae kama wewe ..?Mbona hujianiki na mavazi..kuweni wastaarabu
What's wrong with you people???? Amevaa kawaida Kama Watu wote ndivyo wanavyo vaa hilo ni jeans jacket its like casual if u dont know unavaa anytime... hebu acheni upumbavu wenu its jealous
washamba wote wanaovalisha na yeye pia na usiweke hii comment dj luke na vijimambo team mnaweka za kwenu tu za unoko unoko kuwajibu watu halafu tukikujibuni mnazitupa chini washamba wote na bado mko marekani bado ushamba mnao hatotoke daima
Post a Comment