Mmoja wa majeruhi katika ajali, Gladys Chiduo 'Mc Zipomba' akiwa chini ya uangalizi wa nesi katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Morogoro akipatiwa matibabu mapema leo.
Mc Zipompa akiwa amepumzika baada ya kupatiwa matibabu.
(PICHA NA DUSTAN SHEKIDELE, MOROGORO/GPL)
No comments:
Post a Comment