Thursday, May 29, 2014

MAKAMU WA RAIS DKT BILAL AFUNGUA MKUTANO WA MASHAURIANO WA BODI YA USAJILI WA MAKANDARASI KWA MWAKA 2014 JIJINI DAR LEO.

 Makamu wa Rais Dkt Bilal, akipokea zawadi baada ya kufungua rasmo mkutano huo kutoka kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Makandarasi. 
 Makamu Wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi Mkutano wa Mashauriano wa Bodi ya Usajili wa Makandarasi kwa mwaka 2014, uliofanyika kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam leo mchana. Mbali na ufunguzi wa mkutano huo pia Makamu, alishuhudia hafla ya kuapishwa kwa Wakandarasi.
 Waziri wa Wizra ya Ujenzi, Dkt. John Pombe Magufuli, akizungumza kabla ya kumkaribisha Makamu wa Rais, Dkt. Bilal kufungua mkutano huo. KWA PICHA ZAIDI BOFYA SOMA ZAIDI
 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Joseph Nyamhanga, akipokea barua kutoka kwa Makamu wa Rais.
 Washiriki wa mkutano huo wa Mashauriano wakimsikiliza Makamu wa Rais wakati akihutubia kufungua mkutano.
 Washiriki wa mkutano huo wa Mashauriano wakimsikiliza Makamu wa Rais wakati akihutubia kufungua mkutano.
 Washiriki wa mkutano huo wa Mashauriano wakimsikiliza Makamu wa Rais wakati akihutubia kufungua mkutano.
  Wakandarasi wakila kiapo mbele ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Waziri wa Ujenzi, Dkt John Pombe Magufuli na Mahakimu wa Mahakama ya Kisutu wakati wa mkutano huo. 
 Wakandarasi wakila kiapo mbele ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Waziri wa Ujenzi, Dkt John Pombe Magufuli na Mahakimu wa Mahakama ya Kisutu wakati wa mkutano huo. 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitoka kutembelea mabanda ya maonyesho katika mkutano huo kwenye Viwanja vya Diamond Jubilee. Picha na OMR

No comments: