Mbona kama wanyasa tu? Ngoma za asili ukitaka funga kazi ni Warangi na Wanyamwezi we bwana - tukiwa shuleni ilikuwa wakiingia zamu yao kila mtu anachanganyikiwa. Fitness program complete
hahahahaa wakina MWAKANANIHII safi hiyo ,lakini naungana na mdao hapo juu wanyamwezi na warangi ngoma zao ni ORIGINO.
wewe mrangi au mnyamwezi nini mbona unawafagili sana makabila haya
Post a Comment
3 comments:
Mbona kama wanyasa tu? Ngoma za asili ukitaka funga kazi ni Warangi na Wanyamwezi we bwana - tukiwa shuleni ilikuwa wakiingia zamu yao kila mtu anachanganyikiwa. Fitness program complete
hahahahaa wakina MWAKANANIHII safi hiyo ,lakini naungana na mdao hapo juu wanyamwezi na warangi ngoma zao ni ORIGINO.
wewe mrangi au mnyamwezi nini mbona unawafagili sana makabila haya
Post a Comment