Sehemu ya Umati uliofika kwenye bazaar hiyo na kununua au kuangalia bidhaa mbalimbali
Baadhi ya Wake wa Maafisa wa Uwakilishi wa Kudumu wakiongozwa na Mke wa Balozi, Bibi Upendo Manongi (mwenye miwani) wakiwa katika picha ya pamoja. Banda la Tanzania lilikuwa na vyakula vya asili ya kitanzania, kama vile maandazi na vitumbua, vitafunwa vilivyochangamkiwa sana na waliofika kushuhudia Bazaar hiyo.
Mdau akinunua maandazi
Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi naye hakucheza mbali, hapa akiwa na akina Mama wakati alipofika katika Banda lao
Mke wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Bibi Yoo Soon-Taek, akivishwa skafu ya bendera ya Tanzania wakati alipokuwa akitembelea mabanda mbalimbali na kufika banda la Tanzania.
washiriki wengine nao wakiwa wamepanga bidhaa zao
Washiriki wengine
Sehemu ya Washiriki wengi waliojitokeza kutoka Wakilishi Mbalimbali za Kudumu.
karibu ununue vitumbua vyetu ndivyo anavyooneka kusema Muuzaji
No comments:
Post a Comment