ANGALIA LIVE NEWS

Tuesday, June 17, 2014

MSANII MAARUFU AMINI AMPACHIKA MIMBA MKE WA MTU.

Msanii maarufu wa muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania AMINI MWINYIMKUU maarufu kama AMINI maisha yake yameanza kuwa ya wasiwasi baada ya kumpa mimba mwanadada anayedaiwa kuwa mke wa mtu.
Habari za awali zinasema mwanadada huyo ameahidi kumwambia mume wake juu ya ujauzito huo pamoja na msanii huyo (AMINI) Kukataa kutoa huduma juu ya mimba hiyo. Haya ni maneno ya amini baada ya kukumbwa na msala huo

“Nilikua natoka nae lakini sikujua kama ni mke wa mtu coz alikua akishinda kwangu baada ya mambo kuwa magumu alidai kuwa yeyeni mke wa mtu, kiukweli mimi sijamuelewa wala akili yangu haisomi kabisa” alisema Amini.
 

No comments: