Sunday, June 1, 2014

Mwili wa Mama Yake Mbunge wa Kigoma Zitto Kabwe Wasafirishwa Kwenda Kigoma

Zitto kabwe akiwa na Prof  Ibrahimu Lipumba wakati wa kuuaga Mwili wa mama yake kipenzi Bi Shida Salumu aliyefariki leo kabla ya kusafirishwa kwenda Kigoma kwa mazishi
Ndege Ikiandaliwa Ili kuweza Kuingiza Mwili wa Marehemu Mama yake Zitto Kabwe
Waheshimiwa Wabunge na Baadhi ya Viongozi wakibeba Jeneza lililobeba Mwili wa Marehemu Mama Yake Zitto Kabwe Bi Shida Salum  kuingiza kwenye ndege Tayari kwa safari ya kwenda Kigoma Kwenye mazishi
Prof Ibrahimu Lipumba akijadili jambo na Mwezie baada ya kupakia mwili wa marehemu kwenye ndege kuelekea kigoma Kwenye maziko


Rais wa TASWA Juma Pinto akiwa VIP ya Terminal 1 JKN Airport alipokutana na Cardinal Pengo wakati wa kuaga mwili wa Mama yake Zitto Kabwe

1 comment:

Anonymous said...

inna lillah waina illahim rajiun Allah amuweke katika watu wema peponi amin.
Pole sana zitto kabwee na family yako yote na ndugu na jamaa wote wahusika.
Allah akupe moyo wa wakustahamilli wenye subra zitto kwabwe pamoja na family yako yote.
huu ni wakati wa kuwa na moyo wa subra illi muweze kufaulu mitihani ya Allah.
Sisi sote waja ndo njia yetu hii na Allah anatuonyesha mfano kwamba hakuna atakaye baki duniani ile yeye wakati ukifika kila mtu aatakwenda na wakati wake so tutende mema kwa wingi hapa duniani na tutendeane wema kwa kila kiumbe mwenzetu ili watu watukumbuke kwa mema yetu na tuishi na watu kwa wema na tumuogope Allah tusikufuru na kupitiliza na kusahau kwamba hapa duniani tunapita njia tu tuko safarini.

inna lillah waina illahim rajiun Allah amghufiriye na amuweka pema peponi amin amin amin

June 1, 2014 at 1:41 PM