Kiongozi wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga amesema matamshi ya Rais Uhuru Kenyatta kuhusiana na
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Nairobi, Bw Odinga amesema ni makosa kuhusisha siasa na mikutano yake ya hadhara ambayo amekuwa akiifanya, na mashambulio ya Lamu.
Amesema muungano wa chama chake hauna nia ya kuiondoa serikali iliyopo madarakani, na kuwa wataendelea na mikutano yao kuishinikiza serikali kuwa na mjadala wa kitaifa.
No comments:
Post a Comment