TIMU YA WABUNGE WA BUNGE LA JMT WAPIMA NGUVU NA WAFANYAKAZI WA AKIBA COMMERCIAL BANK-DODOMA
Timu
inayoundwa na Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hii leo 07/06/2014
wameina Nguvu na Wafanyakazi wa Banki ya Akiba hapa Dodoma katika Mchezo
wa Kirafiki.Hadi Mpira Unamalizika Mechi imekwisha kwa Suruhu ya Bila
Kufungana. Picha Vijimambo Blog(Tanzania)
1 comment:
Anonymous
said...
bora wapunguze mafuta yao ya mwilini wawe wanafanya mazoezi haya
1 comment:
bora wapunguze mafuta yao ya mwilini wawe wanafanya mazoezi haya
Post a Comment