Wema Sepetu ameonekana kufungukia wale wanaomtukana kila siku na sasa kufikia hatua ya kumtukana hadi mama yake mzazi...
Kupita
mtandao mmoja wa kijamii, Picha moja ya mama mzazi wa Wema
Sepetu iliyotengenezwa na kuwa CHAFU ilitolewa na kisha kuanza
kushushiwa matusi mazito...
"Dah...! Sijui hata niseme nini...! Ila si mlitaka kuniumiza... leo mmefanikiwa... nawapeni hongera.... Tena mmetisha haswa... Kila sjku huwa hata siumizwi na matusi yenu cuz naonaga kama ni mnajisumbua tu... Hakuna siku nimelia kwa uchungu kama leo...
"I
min mnitukane mimi mpaka mchoke but leave my mum out of it... Kawakosea
nini nyinyi mama angu mpaka mfanye hivyo... Mzazi nwenyewe ndo
nimebakia nae mmoja tu... mnataka afe na yeye nibaki yatima sio...
dah... leo mmeniweza... saana jamani... Basi naomba isifike huko... nina
uchungu sana na mama angu ... nampenda sana mama angu ila naona mnataka
kuniulia mama angu...
"Picha
halisi ndo hio hapo juu kweli mtu uende ukamfanyie hivyo mama wa
mwenzako... una mama wewe.. au uliokotwa na hujui uchungu wa mama...
dah... nime surrender leo.... hongera zenu narudia tena... mmeniweza
leo.... dah...



2 comments:
tuwekeeni haya matusi yutaone nakuyasome siyo eti mnatufanyia usanii na matusi hatuyaoni
Ushauri wa bure kwa wema sepetu kila unapoumia mshitakiye mungu na muachiye mungu afanye kazi yake atakulipia hapa hapa kwa wabaya wako na maadui zako wasio na nia njema na wewe na mama yako.
dua ya mtu anayezulumiwa daima haiendi bure kwa mungu na ukiona unaumia na wao pia wanaumia zaidi yako soma maandiko ya quran bibiye. na jambo la mwisho ni kwamba unapojitangaza umeumizwa ukae ukijua wao wanachekelea na wana taka respond yako waione na wanapoiona ndo WANAZIDISHA.so chungu sana kaa kimya muachiye mungu akulipiziye.
na pole sana kwa kutukaniwa mama yako na wewe kufanya fujo au kulipiza kisasa hakusaidi muachiye tu mungu japo kuwa najua unaumia. mungu mkubwa atakulipia wema, pole sana.
u.s.a
Post a Comment