ANGALIA LIVE NEWS

Wednesday, July 2, 2014

DIAMOND PLATNUMZ BET RED CARPET AND BEHIND THE SCENE !!

Diamond Platnumz akipita kwenye Red Carpet ya BET mbele ya Mapaparazi zaidi ya 200,Mwanamuziki huyu alionekana kuwavutia watu wengi na Suit yake iliyokuwa imemkaa kisawasawa ambayo waingereza wanasema  "Well Tailored Suit" By Designer Sheria Ngowi .
Mapaparazi zaidi ya 200 walichukua every step and moments za Red Carpet wakati Diamond akipita
Mwanamuziki Nelly alitushangaza pale alipomvuta koti Diamond kwa nyuma na kumwta kwa Jina,Tulishangaa sana kuona kumbe wanamuziki wa Marekani nao wanafatilia habari za African Nominees.
Hapa Diamond aligeuka nakukuta aliye mvuta koti ni Nelly ambaye alimwambia congratulations.
Ndani kwenye Award show Diamond na USA Manager wake  Bwana DMK wakipata Ukodaki

   Hapa Mwana Muziki Neyo alimwita Diamond wakati akipita Nakumwambia Congratulation jambo ambalo lilitushangaza kuona kumbe hata wanamuziki wamarekani wamefatilia sana habari za wanamuziki waliokuwa nominated kutoka mataifa ya Africa.
 Behind The Scene Diamond akiwa na Super Designer aliyedesign Suit ya Diamond -Mr Sheria Ngowi.
Picha hii ilipgwa kutika angani vile
 Diamond akiwa na USA Tour Manager wake Bwana DMK akifanyiwa Interview kwenye Red Carpet
Behind the scene Diamond akihojiwa na Factory 78 ya UK
Behind the Scene Diamond katika Picha ya Pamoja na DMK ambaye ndiye USA Tour Manager wake
Diamond akihojiwa na Karrueche Tran Kwenye Red Carpet (Karrueche ni Girlfriend wa Chris brown)

Singer Faith Evans ambaye ni Mke wa Marehemu BIG alipata nafasi yakupiga picha na Diamond

Camrea yetu ilimpata Platnum katika poz hili

Picha iliyotamba kwenye Blogs za marekani jana -Diamond katika Poz la Kisheria Ngowi

Diamond akihijiwa na XXL magazine kwenye RED Carpet pembeni yake ni USA Manager DMK

Mtangazaji wa Fox Entertainment akimuhoji Diamond kwenye Red Carpet



6 comments:

Anonymous said...

sasa mpwa na wewe unaharibu blog mbona hata habari zako huzichuji wala kuzifanyia kazi. huyu kijana sio manager wa diamond(usa tour) kama anavyodai. yeye wala hauhusiki kabisa na tour ya diamond hapa marekani. halafu diamond hajavaa suit kama anavyojiita manager wa usa tour. hakuna kitui kinaitwa suit kama sio rangi moja. so get the record straight mpwa hapa umechapia. edit habari zako kabla hujazipost sasa unatuharibia blog na hiz habari ambazo ni more exaggerated. usimute comment ni kuweka mambo wazi tu

Anonymous said...

wabongo mna jazbaaaa! au ni ugumu wa maisha? kila kitu mnakiweka moyoni. take it easy geeh!

Anonymous said...

Nice one Ngololo. DMK uko juu...

Mussa Linga said...

congratulation Diamond, u have done a good job , may god bless you brother from another mother

Anonymous said...

Mkuu DMK na Diamond big up kwa kutuwakilisha BET. Safi sana. Hongereeni sana.

Anonymous said...

Mmh mambo gani Diamond kuingia red carpet na DMK na Designer badala ya kuja na Wema. Jamani acheni kumtumia Diamond vibaya. Anastaili sifa sio kumtumika vibaya