Advertisements

Monday, July 28, 2014

Olimpija Ljubljana 1 Chelsea 2

Diego Costa akiipatia Chelsea bao la kusawazisha baada ya timu hiyo ya darajani kwenda mapumziko ikiwa nyuma kwa bao 1-0 mechi hii iliyochezewa uwanja wa Stozice nchini Slovenia.
Wachezaji wa Chelsea wakishangilia bao la 2 na la ushindi lililofungwa na Kurt Zouma.

didier-drogba-olimpija
Benchi likfurahia kuwa na mchezaji wao wa zamani Didier Drogba
kurt-zouma-olimpija
Kurt Zouma akifunga goli lililokataliwa kuwa alikua amezidi.

No comments: