Advertisements

Thursday, July 31, 2014

REMY MA MWANAMUSIC WA HIP POP WA BRONX.NY ATOKA JELA LEO BAADA YA KUTUMIA KIFUNGO KWA MIAKA SITA

Remy mwanamusic wa Hip Pop kutoka Bronx. NY atoka jela alikukuwa anatumikia kifungo cha miaka nane lakini baada ya kuonyesha tabia mzuri kwa kipindi hicho alicho kuwa nyuma ya nondo alipunguziwa na kuwa miaka 6. Remy Ma mwenye umri wa mika 34 alitiwa hatiani kwa kosa la kumfyatulia risasi mwanamke mwenzake tumboni. Terror Squad walikuwa wamemmiss mwanachama wao kwa kipindi hicho cha miaka 6 na sasa ujio wake utafungua ukrasa mwingini na kuanza kufanya kazi pamoja tena kuwafurahisha wa penzi wa music wa hip pop. Akiwa jail Remy aliweza kufunga ndoa na boyfriend wake wa muda mrefu Papoose ambae nae ni mwanamusic wa hip pop kutoka Brookyn.NY na akiwa anatoka jail alipokelewa na mume wake huyo pamoja na manager wake na kuanza safari ya kuelekea nyumbani Bronx kuanza maisha mapya. Ukitaka kumjua Remy Ma au jina lake kamili ni Reminisce Smith shuka na video music yake hapa chini ya wimbo wake wa ""There's something about me"" based on a True Story  aliokuwa ameutoa  mwaka 2006.

No comments: