Mitaa ya Kariakoo asubuhi ni kweupe wenye maduka wagomea mashine za TRA watu wakizagaa zakaa tu kupiga stori wasijue wapi kwa kupata mahitaji
Kama unavyoona uwezi kuaamini kama ni mitaa ya Kariakoo kuwa nyeupe kama hivi na ukizingatia ni siku ya kazi na wala siyo weekend.
Habari ndiyo hii hapa ni mtaa wa Raha
1 comment:
Huu ndio aina ya uzalendo tunaoutaka ? wafanyabiasha kukataa kulipa kodi stahiki?
Post a Comment