Advertisements

Friday, September 19, 2014

Sikiliza AUDIO ya Mahojiano na Ahmed Mngazija ambae ni mmoja kati ya waathirika wa madawa ya kulevya Zanzibar

Haya ni MAHOJIANO na Ahmed Mngazija a.k.a (Pongonyongo) jinsi alivyojiingiza bila ya kutegemea katika janga la madawa ya kulevya. 
Ahmed azungumzia mengi juu ya maisha ya wengi walioathirika na mihadarati kisiwani Zanzibar
Sikujua wala sikutambua lakini nilipomsikiliza kwa makini ndipo nilipofunguka na kuelewa zaidi juu ya ndugu zetu waliotumbukia bila ya kutegemea katika uvutaji wa madawa ya kelevya, na kwa kweli wanahitaji kupewa msaada mkubwa wa kuwaponyesha na majanga haya.
Jiunge nasi kwa kumsikiliza mwanzo hadi mwisho ili na wewe upate kujua nini kimejiri kwa Ahmed Mngazija.! Karibu kusikiliza nasi

2 comments:

Anonymous said...

Good information. But edit the clip. That way we will know a brief history of the addict, how to get out if you an addict and what is the law doing about it. Also what to do to get rid of the small distributors and the leaders of the island who allow it to come in as the leaders look aside. It is no secret - this is coming from Arabic countries, Pakistan and India. What can CCM leadership do to stop this.

Anonymous said...

this guy on the left side he is so cute jamaaaaaaniiiii ananiuwaa and he got a sexy eyes.....I wish he is not married.i love him to death